Bendera za nchi wanachama

Bendera za nchi wanachama

Wednesday, December 17, 2014

Wakulima wa karafuu,Pemba waomba msaada

Wakulima wa karafuu,Pemba waomba msaada
Zao la karafuu kisiwani Pemba.


Kisiwa kidogo kilichoko Bahari ya Hindi, Pemba kimekuwa mzalishaji mkubwa wa karafuu duniani kwa miaka mingi. Hivi karibuni umaarufu huo umepigwa kumbo na Indonesia. Wakulima Pemba wanasema wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi. Mengi zaidi ni katika taarifa yake Salim Kikeke kutoka Pemba.
Rais wa Zanzibara Dr. Ali Muhamed Shein akipima karafuu

No comments:

Post a Comment