Bendera za nchi wanachama

Bendera za nchi wanachama

Saturday, December 13, 2014

Sekta ya Uvuvi inavyo wasaidia wanawake Mkoa wa Kigoma.

Wavuvi ziwa Tanganyika 

                                
                                                  Dagaa wameanikwa                                                              
 Wanawake wajasiliamali wa Mkoa wa Kigoma wanaonufaika kupitia rasilimali Samaki na Dagaa kutoka ziwa Tanganyika wakiwa katika Biashara yao ya kila siku.
Mpaka sasa wastani wa wanawake 20 wanategemea mapato yatokanayo na biashara ya dagaa na Samaki. wanawake hao wamefakinikiwa kupata makazi ya kudumu pamoja na fedha za kulipia karo za shule katika familia zao.

No comments:

Post a Comment