Bendera za nchi wanachama

Bendera za nchi wanachama

Friday, May 22, 2015

Changia ujenzi wa kituo cha kulele watoto yatima Kibondo

Watoto 30 yatima na wale waishio katika Mazingira magumu Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanahitaji makazii maalumu yaliyo na huduma bora za kibinadamu kufuatia kukosa wazazi na wengine kukosa usaidizi wa familia zao baada ya kutelekezwa na wazazi wao, Hivyo ungana na Shirika la Maendeleo ya Wanawake Tanzania (TAWODEO)............... "Kwa kuchangia ujenzi wa kituo cha kulelea watoto yatima"
Usimamizi wa watoto unafanywa na Jamii ili kuweza kuleta mabadiliko ya kizazi kwa matumaini ya kuwepo kwa jamii iliyo bora hapo baadae.(Picha na Meneja Mradi Bi. Anna Matenga)

No comments:

Post a Comment