Bendera za nchi wanachama

Bendera za nchi wanachama

Thursday, April 30, 2015

KILIMO CHA MBOGAMBOGA


KILIMO CHA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Bi. Mariam Mohamed na Anita Mbigambo wakulima wa mbogamboga.
Wanawake 20 wa shirika la Tawodeo wamezalisha jumla ya tani 20 za mbogamboga licha ya kukabiliwa na changamoto ya wadudu waharibifu wa mboga mboga katika msimu wa kilimo mwaka 2014/2015.
Akizungumza na wanawake hao Mkurugenzi Mtendaji wa shilika hilo Bi.Anna Matenga amesema bado juhudi kubwa zinahitajika ili kuweza kuwaelimisha wanawake namna bora ya kilimo cha mbogamboga ikiwemo matumiza ya madawa ili kuweza kuwasaidia kuondokana na wadudu waharibifu.
Bi.Matenga amesema kilimo pekee kinaweza kuwa mkombozi kwa familia moja moja hasa wanawake kwani wengi wao ndio waangalizi wa familia katika kaya Vijijini.

No comments:

Post a Comment